28 Naye akaendelea kuwa huko pamoja na Yehova siku 40, mchana na usiku. Hakula mkate wala hakunywa maji.+ Naye akaandika juu ya yale mabamba maneno ya lile agano, yale Maneno Kumi.+
4 Kisha akaandika juu ya yale mabamba maandishi yaleyale kama ya kwanza,+ yale Maneno Kumi,+ ambayo Yehova alisema nanyi mlimani toka katikati ya moto+ katika siku ya kutaniko;+ kisha Yehova akanipa hayo.