22 “Yehova aliliambia kutaniko lenu lote Maneno hayo katika mlima kutoka katikati ya ule moto,+ lile wingu na ule weusi mzito, kwa sauti kubwa, naye hakuongeza lolote; kisha akayaandika juu ya mabamba mawili ya mawe na kunipa mimi.+
38 Huyo ndiye+ aliyekuja kuwa katikati ya kutaniko+ katika nyika pamoja na malaika+ aliyesema naye juu ya Mlima Sinai na pamoja na mababu zetu, naye akapokea maneno matakatifu+ yaliyo hai ili awape ninyi.