20 Baada ya hilo akachukua ule Ushuhuda+ na kuuweka katika Sanduku+ na kuiweka ile miti+ kwenye lile Sanduku na kuweka kile kifuniko+ juu ya lile Sanduku.+
22 “Yehova aliliambia kutaniko lenu lote Maneno hayo katika mlima kutoka katikati ya ule moto,+ lile wingu na ule weusi mzito, kwa sauti kubwa, naye hakuongeza lolote; kisha akayaandika juu ya mabamba mawili ya mawe na kunipa mimi.+