Kutoka 16:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Sawasawa na vile Yehova alivyokuwa amemwamuru Musa, Haruni akaiweka mbele ya ule Ushuhuda+ iwe kitu cha kuwekwa. Kutoka 31:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Sasa mara tu alipomaliza kusema naye kwenye Mlima Sinai alimpa Musa mabamba mawili ya ule Ushuhuda,+ mabamba ya mawe ambayo juu yake yaliandikwa kwa kidole cha Mungu.+
34 Sawasawa na vile Yehova alivyokuwa amemwamuru Musa, Haruni akaiweka mbele ya ule Ushuhuda+ iwe kitu cha kuwekwa.
18 Sasa mara tu alipomaliza kusema naye kwenye Mlima Sinai alimpa Musa mabamba mawili ya ule Ushuhuda,+ mabamba ya mawe ambayo juu yake yaliandikwa kwa kidole cha Mungu.+