Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 27:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Katika hema la mkutano, nje ya pazia+ lililo kando ya ule Ushuhuda, Haruni na wanawe watauweka kwa utaratibu tangu asubuhi mpaka jioni mbele za Yehova.+ Itakuwa sheria mpaka wakati usio na kipimo kwa vizazi vyao,+ itakayotekelezwa na wana wa Israeli.+

  • Kutoka 30:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Nawe utaiweka mbele ya pazia lililo karibu na sanduku la ushuhuda,+ mbele ya kifuniko kilicho juu ya ule Ushuhuda, mahali ambapo nitajitokeza kwako.+

  • Kutoka 40:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Baada ya hilo akachukua ule Ushuhuda+ na kuuweka katika Sanduku+ na kuiweka ile miti+ kwenye lile Sanduku na kuweka kile kifuniko+ juu ya lile Sanduku.+

  • 1 Wafalme 8:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Hamkuwa na chochote ndani ya lile Sanduku ila yale mabamba mawili+ ya mawe ambayo Musa aliweka+ humo kule Horebu, wakati Yehova alipokuwa amemaliza kufanya agano+ na wana wa Israeli walipokuwa wakitoka katika nchi ya Misri.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki