Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 26:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Nawe utaliweka pazia chini ya kulabu na kulileta sanduku la ushuhuda+ ndani ya hilo pazia; nalo pazia litawatenganishia Patakatifu+ na Patakatifu Zaidi.+

  • Kutoka 40:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Nawe utaliweka sanduku la ushuhuda+ ndani yake na kufunga kwa pazia+ njia ya kuingia penye Sanduku.

  • Waebrania 6:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Tumaini+ hilo tunalo kama nanga ya nafsi, likiwa hakika na imara, nalo huingia mle ndani ya pazia,+

  • Waebrania 9:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Kwa maana kilijengwa chumba cha hema cha kwanza+ ambacho ndani yake mlikuwa kile kinara cha taa+ na pia meza+ na wonyesho wa mikate;+ nacho kinaitwa “Mahali Patakatifu.”+

  • Waebrania 9:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Lakini nyuma ya pazia+ la pili kulikuwa na chumba cha hema kilichoitwa “Patakatifu Zaidi.”+

  • Waebrania 10:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 aliyotuzindulia kuwa njia mpya na yenye uzima kupitia lile pazia,+ yaani, mwili wake,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki