Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 40:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Halafu akaleta lile Sanduku ndani ya maskani na kuweka lile pazia+ la kusitiri mahali pake na kufunga njia ya kuingia penye sanduku la ushuhuda,+ kama vile Yehova alivyokuwa amemwamuru Musa.

  • Mambo ya Walawi 16:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Na Yehova akamwambia Musa: “Sema na Haruni ndugu yako, asiwe akija nyakati zote katika mahali patakatifu+ ndani ya pazia,+ mbele ya kifuniko kilicho juu ya Sanduku, asije akafa;+ kwa sababu nitaonekana katika wingu+ juu ya kifuniko+ hicho.

  • 1 Wafalme 8:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Ndipo makuhani wakaliingiza ndani mahali pake lile sanduku+ la agano la Yehova, mpaka kwenye chumba cha ndani kabisa cha nyumba, pale Patakatifu Zaidi, mpaka chini ya mabawa ya wale makerubi.+

  • Waebrania 9:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Lakini nyuma ya pazia+ la pili kulikuwa na chumba cha hema kilichoitwa “Patakatifu Zaidi.”+

  • Waebrania 9:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 aliingia, si kwa damu ya mbuzi na ya ng’ombe-dume wachanga,+ bali kwa damu yake mwenyewe,+ mara moja kwa wakati wote ndani ya mahali patakatifu na kupata ukombozi wa milele kwa ajili yetu.+

  • Waebrania 9:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Kwa maana Kristo hakuingia mahali patakatifu palipofanywa kwa mikono,+ ambapo ni mfano wa uhalisi,+ bali aliingia mbinguni kwenyewe,+ ili sasa aonekane mbele za uso wa Mungu kwa ajili yetu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki