Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 26:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Nawe utaliweka pazia chini ya kulabu na kulileta sanduku la ushuhuda+ ndani ya hilo pazia; nalo pazia litawatenganishia Patakatifu+ na Patakatifu Zaidi.+

  • Kutoka 40:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Halafu akaleta lile Sanduku ndani ya maskani na kuweka lile pazia+ la kusitiri mahali pake na kufunga njia ya kuingia penye sanduku la ushuhuda,+ kama vile Yehova alivyokuwa amemwamuru Musa.

  • 2 Samweli 6:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Kwa hiyo wakaliingiza ndani sanduku la Yehova na kuliweka mahali pake ndani ya hema ambalo Daudi alikuwa amelisimamishia;+ kisha Daudi akatoa dhabihu za kuteketezwa+ na dhabihu za ushirika+ mbele za Yehova.

  • 2 Mambo ya Nyakati 5:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Ndipo makuhani wakaliingiza sanduku la agano la Yehova mahali pake, ndani ya chumba cha ndani kabisa+ cha nyumba, ndani ya Patakatifu Zaidi,+ chini ya mabawa ya wale makerubi.+

  • Ufunuo 11:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Na patakatifu pa hekalu la Mungu palipo mbinguni+ pakafunguliwa, na sanduku+ la agano lake likaonekana katika patakatifu pa hekalu lake.+ Na kukatokea umeme na sauti na ngurumo na tetemeko la nchi na mvua kubwa ya mawe.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki