Habakuki 2:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Lakini Yehova yumo katika hekalu lake takatifu.+ Kaa kimya mbele zake, dunia yote!’ ”+ Waebrania 8:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 mtumishi wa watu wote wa mahali patakatifu+ na wa hema la kweli, ambalo Yehova+ alisimamisha, na si mwanadamu.+ Waebrania 9:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Hata hivyo, Kristo alipokuja akiwa kuhani mkuu+ wa mambo mema ambayo yamekwisha kuwa, kupitia hema kubwa zaidi na kamilifu zaidi ambalo halikufanywa kwa mikono, yaani, si la uumbaji huu,+
2 mtumishi wa watu wote wa mahali patakatifu+ na wa hema la kweli, ambalo Yehova+ alisimamisha, na si mwanadamu.+
11 Hata hivyo, Kristo alipokuja akiwa kuhani mkuu+ wa mambo mema ambayo yamekwisha kuwa, kupitia hema kubwa zaidi na kamilifu zaidi ambalo halikufanywa kwa mikono, yaani, si la uumbaji huu,+