Zaburi 76:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kutoka mbinguni ulifanya kesi isikiwe;+Dunia iliogopa na kukaa kimya+ Sefania 1:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kaa kimya mbele za Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova;+ kwa maana siku ya Yehova iko karibu,+ kwa maana Yehova ametayarisha dhabihu;+ amewatakasa+ watu wake walioalikwa. Zekaria 2:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Nyamazeni, watu wote, mbele za Yehova,+ kwa maana ameamka+ kutoka katika makao yake matakatifu.+
7 Kaa kimya mbele za Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova;+ kwa maana siku ya Yehova iko karibu,+ kwa maana Yehova ametayarisha dhabihu;+ amewatakasa+ watu wake walioalikwa.