Zaburi 46:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 “Salimuni amri, na mjue ya kwamba mimi ni Mungu.+Nitatukuzwa kati ya mataifa,+Nitatukuzwa duniani.”+ Habakuki 2:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Lakini Yehova yumo katika hekalu lake takatifu.+ Kaa kimya mbele zake, dunia yote!’ ”+ Sefania 1:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kaa kimya mbele za Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova;+ kwa maana siku ya Yehova iko karibu,+ kwa maana Yehova ametayarisha dhabihu;+ amewatakasa+ watu wake walioalikwa.
10 “Salimuni amri, na mjue ya kwamba mimi ni Mungu.+Nitatukuzwa kati ya mataifa,+Nitatukuzwa duniani.”+
7 Kaa kimya mbele za Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova;+ kwa maana siku ya Yehova iko karibu,+ kwa maana Yehova ametayarisha dhabihu;+ amewatakasa+ watu wake walioalikwa.