Zaburi 11:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Yehova yumo katika hekalu lake takatifu.+Yehova—kiti chake cha ufalme kiko mbinguni.+Macho yake yanaangalia, macho yake yanayong’aa yanawachunguza+ wana wa binadamu. Zaburi 115:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Lakini Mungu wetu yuko mbinguni;+Kila kitu ambacho alipendezwa kufanya, amekifanya.+ Isaya 6:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Katika mwaka ule aliokufa Mfalme Uzia,+ mimi, hata hivyo, nilimwona Yehova,+ akiwa ameketi juu ya kiti cha ufalme+ kilicho juu na kilichoinuliwa, na pindo za nguo yake zilikuwa zimelijaza hekalu.+ Waebrania 8:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 mtumishi wa watu wote wa mahali patakatifu+ na wa hema la kweli, ambalo Yehova+ alisimamisha, na si mwanadamu.+
4 Yehova yumo katika hekalu lake takatifu.+Yehova—kiti chake cha ufalme kiko mbinguni.+Macho yake yanaangalia, macho yake yanayong’aa yanawachunguza+ wana wa binadamu.
6 Katika mwaka ule aliokufa Mfalme Uzia,+ mimi, hata hivyo, nilimwona Yehova,+ akiwa ameketi juu ya kiti cha ufalme+ kilicho juu na kilichoinuliwa, na pindo za nguo yake zilikuwa zimelijaza hekalu.+
2 mtumishi wa watu wote wa mahali patakatifu+ na wa hema la kweli, ambalo Yehova+ alisimamisha, na si mwanadamu.+