10 Naye Haruni atafanya upatanisho juu ya pembe zake mara moja kwa mwaka.+ Kwa sehemu ya damu ya toleo la dhambi+ la upatanisho ataifanyia upatanisho mara moja kwa mwaka katika vizazi vyenu. Ni takatifu zaidi kwa Yehova.”
27 “Hata hivyo, katika siku ya kumi ya mwezi huu wa saba ni siku ya upatanisho.+ Mtafanya mkusanyiko mtakatifu, nanyi mtazitesa nafsi+ zenu na kumtolea Yehova toleo+ linalotolewa kwa njia ya moto.
7 lakini ndani ya chumba cha pili kuhani mkuu peke yake huingia mara moja kwa mwaka,+ wala si bila damu,+ ambayo yeye huitoa kwa ajili yake mwenyewe+ na kwa ajili ya dhambi za hali ya watu+ ya kutojua.