5 “Na kutoka katika kusanyiko la wana wa Israeli+ atachukua wana-mbuzi dume wawili kwa ajili ya toleo la dhambi+ na kondoo-dume mmoja kwa ajili ya toleo la kuteketezwa.+
6 “Naye Haruni atamtoa yule ng’ombe-dume wa toleo la dhambi, aliye kwa ajili yake,+ naye atafanya upatanisho+ kwa ajili yake mwenyewe+ na nyumba yake.+