Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 16:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 “Na kutoka katika kusanyiko la wana wa Israeli+ atachukua wana-mbuzi dume wawili kwa ajili ya toleo la dhambi+ na kondoo-dume mmoja kwa ajili ya toleo la kuteketezwa.+

  • Mambo ya Walawi 16:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 “Naye Haruni atamtoa yule ng’ombe-dume wa toleo la dhambi, aliye kwa ajili yake,+ naye atafanya upatanisho+ kwa ajili yake mwenyewe+ na nyumba yake.+

  • Mambo ya Walawi 16:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Pia atatapanya+ sehemu ya damu juu yake kwa kidole chake mara saba na kuisafisha na kuitakasa kutokana na uchafu wa wana wa Israeli.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki