Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 29:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 mwana-mbuzi mmoja akiwa toleo la dhambi, mbali na lile toleo la dhambi la upatanisho+ na lile toleo la kuteketezwa la daima na toleo lake la nafaka, pamoja na matoleo yake ya kinywaji.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 29:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Nao wakaleta ng’ombe-dume saba+ na kondoo-dume saba na wana-kondoo dume saba na mbuzi-dume saba wawe toleo la dhambi+ kwa ajili ya ufalme na kwa ajili ya patakatifu na kwa ajili ya Yuda. Basi akawaambia wana wa Haruni, makuhani,+ wawatoe wawe toleo juu ya madhabahu ya Yehova.

  • Ezra 6:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Nao wakaleta kwa ajili ya kuzindua nyumba hii ya Mungu ng’ombe-dume mia moja, kondoo-dume mia mbili, wana-kondoo mia nne, wakatoa mbuzi-dume kumi na wawili kwa ajili ya toleo la dhambi kwa Israeli wote, kulingana na hesabu ya makabila ya Israeli.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki