Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 4:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 “‘Kuhani, aliyetiwa mafuta,+ akitenda dhambi+ na kuleta hatia juu ya watu, basi, kwa ajili ya dhambi yake ambayo ametenda,+ atamtolea Yehova ng’ombe-dume mchanga ambaye hana kasoro, kuwa toleo la dhambi.

  • Mambo ya Walawi 4:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 nayo dhambi ambayo wamefanya kinyume cha moja kati ya mambo hayo imejulikana,+ basi kutaniko litatoa ng’ombe-dume mchanga kwa ajili ya toleo la dhambi na kumleta mbele ya hema la mkutano.

  • Hesabu 15:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 “‘Sasa ikiwa mtafanya kosa bila kukusudia nanyi mkose kushika amri zote hizi,+ ambazo Yehova amemwambia Musa,

  • Hesabu 15:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 ndipo itatukia kwamba ikiwa limefanywa mbali na macho ya kusanyiko kwa kukosea bila kukusudia, kusanyiko lote litatoa ng’ombe-dume mchanga awe toleo la kuteketezwa kwa ajili ya harufu ya kumtuliza Yehova, na toleo lake la nafaka na toleo lake la kinywaji kulingana na utaratibu wa kawaida,+ na mwana-mbuzi mmoja awe toleo la dhambi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki