35 Wale waliotoka utekwani, waliokuwa wahamishwa hapo kwanza,+ wenyewe wakamtolea Mungu wa Israeli dhabihu za kuteketezwa,+ ng’ombe-dume+ 12 kwa ajili ya Israeli wote, kondoo-dume+ 96, wana-kondoo dume+ 77, mbuzi-dume 12 kama toleo la dhambi, kila kitu kama toleo la kuteketezwa kwa Yehova.