Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 4:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 au amejulishwa dhambi yake ambayo amefanya kinyume cha amri,+ basi atamleta mwana-mbuzi dume+ ambaye hana kasoro, awe toleo lake.

  • Hesabu 28:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Pia, mwana-mbuzi+ mmoja atatolewa akiwa toleo la dhambi kwa Yehova kwa kuongezea lile toleo la kuteketezwa la daima pamoja na toleo lake la kinywaji.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 29:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Nao wakaleta ng’ombe-dume saba+ na kondoo-dume saba na wana-kondoo dume saba na mbuzi-dume saba wawe toleo la dhambi+ kwa ajili ya ufalme na kwa ajili ya patakatifu na kwa ajili ya Yuda. Basi akawaambia wana wa Haruni, makuhani,+ wawatoe wawe toleo juu ya madhabahu ya Yehova.

  • Ezra 6:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Nao wakaleta kwa ajili ya kuzindua nyumba hii ya Mungu ng’ombe-dume mia moja, kondoo-dume mia mbili, wana-kondoo mia nne, wakatoa mbuzi-dume kumi na wawili kwa ajili ya toleo la dhambi kwa Israeli wote, kulingana na hesabu ya makabila ya Israeli.+

  • Ezra 8:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Wale waliotoka utekwani, waliokuwa wahamishwa hapo kwanza,+ wenyewe wakamtolea Mungu wa Israeli dhabihu za kuteketezwa,+ ng’ombe-dume+ 12 kwa ajili ya Israeli wote, kondoo-dume+ 96, wana-kondoo dume+ 77, mbuzi-dume 12 kama toleo la dhambi, kila kitu kama toleo la kuteketezwa kwa Yehova.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki