5 “‘Kisha yule ng’ombe-dume mchanga atachinjwa mbele za Yehova; na wana wa Haruni, makuhani,+ wataitoa damu na kuinyunyiza damu hiyo kwenye madhabahu kuizunguka pande zote,+ madhabahu iliyo kwenye mwingilio wa hema la mkutano.
17 kwa hiyo utanunua kwa pesa hizo mara moja ng’ombe-dume,+ kondoo-dume,+ wana-kondoo+ na matoleo yao ya nafaka+ na matoleo yao ya kinywaji+ nawe utavileta kwenye madhabahu ya nyumba ya Mungu wenu,+ iliyoko Yerusalemu.+