-
Hesabu 15:24Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
24 ndipo itatukia kwamba ikiwa limefanywa mbali na macho ya kusanyiko kwa kukosea bila kukusudia, kusanyiko lote litatoa ng’ombe-dume mchanga awe toleo la kuteketezwa kwa ajili ya harufu ya kumtuliza Yehova, na toleo lake la nafaka na toleo lake la kinywaji kulingana na utaratibu wa kawaida,+ na mwana-mbuzi mmoja awe toleo la dhambi.+
-