Hesabu 15:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 “‘Lakini ikiwa utatoa dume la mifugo liwe toleo la kuteketezwa+ au dhabihu ili kuweka nadhiri+ ya pekee au dhabihu za ushirika kwa Yehova,+ Hesabu 15:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Nawe unapaswa kutoa divai iwe toleo la kinywaji,+ nusu hini, kama toleo linalotolewa kwa njia ya moto, lenye harufu ya kumtuliza Yehova.
8 “‘Lakini ikiwa utatoa dume la mifugo liwe toleo la kuteketezwa+ au dhabihu ili kuweka nadhiri+ ya pekee au dhabihu za ushirika kwa Yehova,+
10 Nawe unapaswa kutoa divai iwe toleo la kinywaji,+ nusu hini, kama toleo linalotolewa kwa njia ya moto, lenye harufu ya kumtuliza Yehova.