Mambo ya Walawi 7:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 “‘Na ikiwa dhabihu ya toleo lake ni toleo la nadhiri+ au la hiari,+ italiwa siku atakayoitoa dhabihu yake, na kesho yake kilichobaki kinaweza kuliwa.
16 “‘Na ikiwa dhabihu ya toleo lake ni toleo la nadhiri+ au la hiari,+ italiwa siku atakayoitoa dhabihu yake, na kesho yake kilichobaki kinaweza kuliwa.