Hesabu 28:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Pia, mwana-mbuzi+ mmoja atatolewa akiwa toleo la dhambi kwa Yehova kwa kuongezea lile toleo la kuteketezwa la daima pamoja na toleo lake la kinywaji.+ Hesabu 29:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 na mwana-mbuzi mmoja akiwa toleo la dhambi ili kufanya upatanisho kwa ajili yenu;+
15 Pia, mwana-mbuzi+ mmoja atatolewa akiwa toleo la dhambi kwa Yehova kwa kuongezea lile toleo la kuteketezwa la daima pamoja na toleo lake la kinywaji.+