Hesabu 28:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Pia, mwana-mbuzi+ mmoja atatolewa akiwa toleo la dhambi kwa Yehova kwa kuongezea lile toleo la kuteketezwa la daima pamoja na toleo lake la kinywaji.+ Hesabu 28:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 na mbuzi mmoja wa toleo la dhambi ili kufanya upatanisho kwa ajili yenu.+
15 Pia, mwana-mbuzi+ mmoja atatolewa akiwa toleo la dhambi kwa Yehova kwa kuongezea lile toleo la kuteketezwa la daima pamoja na toleo lake la kinywaji.+