35 Wale waliotoka uhamishoni, waliokuwa utekwani, wakamtolea Mungu wa Israeli dhabihu za kuteketezwa, ng’ombe dume 12+ kwa ajili ya Waisraeli wote, kondoo dume 96,+ wanakondoo dume 77, mbuzi dume 12+ kwa ajili ya dhabihu ya dhambi; hizo zote zilikuwa dhabihu za kuteketezwa zilizotolewa kwa Yehova.+