Mambo ya Walawi 8:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Halafu akamwongoza ng’ombe-dume+ wa toleo la dhambi na Haruni na wanawe wakaweka mikono yao juu ya kichwa+ cha yule ng’ombe wa toleo la dhambi. Waebrania 9:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 lakini ndani ya chumba cha pili kuhani mkuu peke yake huingia mara moja kwa mwaka,+ wala si bila damu,+ ambayo yeye huitoa kwa ajili yake mwenyewe+ na kwa ajili ya dhambi za hali ya watu+ ya kutojua.
14 Halafu akamwongoza ng’ombe-dume+ wa toleo la dhambi na Haruni na wanawe wakaweka mikono yao juu ya kichwa+ cha yule ng’ombe wa toleo la dhambi.
7 lakini ndani ya chumba cha pili kuhani mkuu peke yake huingia mara moja kwa mwaka,+ wala si bila damu,+ ambayo yeye huitoa kwa ajili yake mwenyewe+ na kwa ajili ya dhambi za hali ya watu+ ya kutojua.