Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 29:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 “Sasa utamtoa yule ng’ombe-dume mbele ya hema la mkutano, na Haruni na wanawe wataweka mikono yao juu ya kichwa cha huyo ng’ombe-dume.+

  • Mambo ya Walawi 4:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 “‘Kuhani, aliyetiwa mafuta,+ akitenda dhambi+ na kuleta hatia juu ya watu, basi, kwa ajili ya dhambi yake ambayo ametenda,+ atamtolea Yehova ng’ombe-dume mchanga ambaye hana kasoro, kuwa toleo la dhambi.

  • Mambo ya Walawi 16:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 “Naye Haruni atamtoa yule ng’ombe-dume wa toleo la dhambi, aliye kwa ajili yake,+ naye atafanya upatanisho+ kwa ajili yake mwenyewe+ na nyumba yake.+

  • Ezekieli 43:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 “ ‘Nawe utawapa makuhani Walawi,+ ambao ni uzao wa Sadoki,+ wale wanaonikaribia mimi,’+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, ‘ili kunihudumia, ng’ombe-dume mchanga, mwana wa mifugo, awe toleo la dhambi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki