6 Nanyi mtaitwa makuhani wa Yehova;+ itasemekana ninyi ni wahudumu wa Mungu wetu.+ Ninyi mtakula mali za mataifa,+ nanyi mtasema kujihusu ninyi wenyewe kwa kuchangamka katika utukufu wao.+
18 Nao makuhani Walawi, hatakatiliwa mbali mwanamume kutoka mbele zangu wa kutoa toleo zima la kuteketezwa na kufukiza moshi pamoja na toleo la nafaka na kutoa dhabihu sikuzote.’”+
5 ninyi wenyewe pia kama mawe yaliyo hai mnajengwa kuwa nyumba ya kiroho+ kwa kusudi la ukuhani mtakatifu, ili kutoa dhabihu za kiroho+ zenye kukubalika kwa Mungu kupitia Yesu Kristo.+