Kutoka 29:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 “Sasa utamtoa yule ng’ombe-dume mbele ya hema la mkutano, na Haruni na wanawe wataweka mikono yao juu ya kichwa cha huyo ng’ombe-dume.+ Mambo ya Walawi 8:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Halafu akamwongoza ng’ombe-dume+ wa toleo la dhambi na Haruni na wanawe wakaweka mikono yao juu ya kichwa+ cha yule ng’ombe wa toleo la dhambi. Waebrania 7:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Yeye hahitaji kila siku,+ kama wale makuhani wakuu wanavyofanya, kutoa dhabihu, kwanza kwa ajili ya dhambi zake mwenyewe+ kisha kwa ajili ya zile za watu:+ (kwa maana yeye alifanya hilo mara moja+ kwa wakati wote alipojitoa+ mwenyewe;)
10 “Sasa utamtoa yule ng’ombe-dume mbele ya hema la mkutano, na Haruni na wanawe wataweka mikono yao juu ya kichwa cha huyo ng’ombe-dume.+
14 Halafu akamwongoza ng’ombe-dume+ wa toleo la dhambi na Haruni na wanawe wakaweka mikono yao juu ya kichwa+ cha yule ng’ombe wa toleo la dhambi.
27 Yeye hahitaji kila siku,+ kama wale makuhani wakuu wanavyofanya, kutoa dhabihu, kwanza kwa ajili ya dhambi zake mwenyewe+ kisha kwa ajili ya zile za watu:+ (kwa maana yeye alifanya hilo mara moja+ kwa wakati wote alipojitoa+ mwenyewe;)