10 Naye Haruni atafanya upatanisho juu ya pembe zake mara moja kwa mwaka.+ Kwa sehemu ya damu ya toleo la dhambi+ la upatanisho ataifanyia upatanisho mara moja kwa mwaka katika vizazi vyenu. Ni takatifu zaidi kwa Yehova.”
14 “Naye atachukua sehemu ya damu ya ng’ombe-dume+ na kuitapanya kwa kidole chake mbele ya kifuniko upande wa mashariki, naye atatapanya+ sehemu ya damu hiyo kwa kidole chake mara saba mbele ya kifuniko.+