Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 16:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 “Naye atatoka nje kwenda kwenye madhabahu,+ iliyo mbele za Yehova, na kufanya upatanisho kwa ajili yake, naye atachukua sehemu ya damu ya yule ng’ombe-dume na sehemu ya damu ya yule mbuzi na kuitia juu ya pembe za ile madhabahu kuizunguka pande zote.+

  • Mambo ya Walawi 23:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 “Hata hivyo, katika siku ya kumi ya mwezi huu wa saba ni siku ya upatanisho.+ Mtafanya mkusanyiko mtakatifu, nanyi mtazitesa nafsi+ zenu na kumtolea Yehova toleo+ linalotolewa kwa njia ya moto.

  • Waebrania 9:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 lakini ndani ya chumba cha pili kuhani mkuu peke yake huingia mara moja kwa mwaka,+ wala si bila damu,+ ambayo yeye huitoa kwa ajili yake mwenyewe+ na kwa ajili ya dhambi za hali ya watu+ ya kutojua.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki