2 Na Yehova akamwambia Musa: “Sema na Haruni ndugu yako, asiwe akija nyakati zote katika mahali patakatifu+ ndani ya pazia,+ mbele ya kifuniko kilicho juu ya Sanduku, asije akafa;+ kwa sababu nitaonekana katika wingu+ juu ya kifuniko+ hicho.
25 Wala si ili ajitoe mwenyewe mara nyingi, kama vile kuhani mkuu anavyoingia mahali patakatifu+ mwaka baada ya mwaka+ akiwa na damu isiyo yake mwenyewe.