Hesabu 4:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Na Haruni na wanawe wataingia ndani wakati ambapo kambi inaondoka, nao watalishusha pazia lenye kusitiri+ na kulifunika sanduku+ la ushuhuda kwa pazia hilo. Waebrania 9:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Lakini nyuma ya pazia+ la pili kulikuwa na chumba cha hema kilichoitwa “Patakatifu Zaidi.”+ Waebrania 10:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 aliyotuzindulia kuwa njia mpya na yenye uzima kupitia lile pazia,+ yaani, mwili wake,+
5 Na Haruni na wanawe wataingia ndani wakati ambapo kambi inaondoka, nao watalishusha pazia lenye kusitiri+ na kulifunika sanduku+ la ushuhuda kwa pazia hilo.