Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 26:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 “Nawe utafanya pazia+ la uzi wa bluu na sufu iliyotiwa rangi ya zambarau na kitambaa chenye rangi nyekundu ya kochinili na kitani bora kilichosokotwa. Atalifanya likiwa na makerubi,+ kazi ya mtarizi.

  • Kutoka 36:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Naye akafanya pazia+ la uzi wa bluu na sufu iliyotiwa rangi ya zambarau na kitambaa cha rangi nyekundu ya kochinili na kitani bora kilichosokotwa. Akalitia makerubi kwa kazi ya mtarizi.+

  • Kutoka 40:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Nawe utaliweka sanduku la ushuhuda+ ndani yake na kufunga kwa pazia+ njia ya kuingia penye Sanduku.

  • Mambo ya Walawi 16:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Na Yehova akamwambia Musa: “Sema na Haruni ndugu yako, asiwe akija nyakati zote katika mahali patakatifu+ ndani ya pazia,+ mbele ya kifuniko kilicho juu ya Sanduku, asije akafa;+ kwa sababu nitaonekana katika wingu+ juu ya kifuniko+ hicho.

  • Hesabu 3:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Na wajibu+ wao ulikuwa ni lile Sanduku+ na meza+ na kinara cha taa+ na madhabahu+ na vyombo+ vya mahali patakatifu ambavyo wangevitumia kuhudumu na kisitiri,+ na utumishi wake wote.

  • Waebrania 9:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Lakini nyuma ya pazia+ la pili kulikuwa na chumba cha hema kilichoitwa “Patakatifu Zaidi.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki