5 Ndipo nikageuka, nikashuka kutoka mlimani+ na kuweka yale mabamba katika sanduku nililokuwa nimetengeneza, ili yapate kukaa humo, kama vile ambavyo Yehova alikuwa ameniamuru.+
4 Hicho kilikuwa na chetezo+ cha dhahabu na sanduku la agano+ likiwa limefunikwa kuzunguka pande zote kwa dhahabu,+ ambalo ndani yake mlikuwa na mtungi wa dhahabu wenye mana+ na ile fimbo ya Haruni iliyochipuka+ na yale mabamba+ ya agano;