12 “Naye atachukua chetezo+ kilichojaa makaa yanayowaka moto kutoka katika madhabahu+ mbele za Yehova, na mikono yake yote miwili+ ikiwa imejaa uvumba uliotiwa manukato,+ naye atavileta ndani ya pazia.+
3 Na malaika mwingine akafika na kusimama kwenye madhabahu,+ akiwa na chombo cha uvumba cha dhahabu; naye akapewa kiasi kikubwa cha uvumba+ ili autoe pamoja na sala za watakatifu wote juu ya madhabahu ya dhahabu ambayo ilikuwa mbele ya kile kiti cha ufalme.