Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 40:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Naye akaweka ile madhabahu+ ya toleo la kuteketezwa kwenye mwingilio wa hema la mkutano, ili atoe juu yake toleo la kuteketezwa+ na toleo la nafaka, kama vile Yehova alivyokuwa amemwamuru Musa.

  • Mambo ya Walawi 6:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Moto+ utawaka daima kwenye madhabahu. Usizimike.

  • Hesabu 16:46
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 46 Kisha Musa akamwambia Haruni: “Chukua chetezo utie ndani yake moto kutoka juu ya madhabahu+ na kutia uvumba nawe uende kwenye kusanyiko haraka na kufanya upatanisho kwa ajili yao,+ kwa sababu hasira imetoka usoni pa Yehova.+ Pigo limeanza!”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki