Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 10:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Kwa hiyo Musa akamwambia Haruni na Eleazari na Ithamari wale wanawe wengine: “Msiache vichwa vyenu vikose kuwa nadhifu,+ wala msiyararue mavazi yenu, msije mkafa wala asije akalikasirikia kusanyiko lote;+ lakini ndugu zenu wa nyumba yote ya Israeli watalilia kule kuteketeza, ambako Yehova aliteketeza.

  • Hesabu 1:53
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 53 Nao Walawi watapiga kambi kuizunguka maskani ya Ushuhuda, ili ghadhabu+ yoyote isizuke juu ya kusanyiko la wana wa Israeli; nao Walawi watashika utumishi wa maskani ya Ushuhuda.”+

  • Hesabu 18:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Nanyi mtashika wajibu wenu kwa mahali patakatifu+ na wajibu wenu kwa madhabahu,+ ili hasira+ zaidi isitokee juu ya wana wa Israeli.

  • 1 Mambo ya Nyakati 27:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Yoabu+ mwana wa Seruya alikuwa ameanza kuhesabu, lakini hakumaliza;+ na kwa sababu hiyo kukawa na ghadhabu+ juu ya Israeli, na hesabu hiyo haikuwekwa katika hesabu ya mambo ya siku za Mfalme Daudi.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki