Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 27:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Katika hema la mkutano, nje ya pazia+ lililo kando ya ule Ushuhuda, Haruni na wanawe watauweka kwa utaratibu tangu asubuhi mpaka jioni mbele za Yehova.+ Itakuwa sheria mpaka wakati usio na kipimo kwa vizazi vyao,+ itakayotekelezwa na wana wa Israeli.+

  • Kutoka 30:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 “Naye Haruni atafukiza+ uvumba uliotiwa manukato+ juu yake. Asubuhi kwa asubuhi, anapotayarisha taa,+ ataufukiza.⁠

  • Mambo ya Walawi 24:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Nje ya pazia la Ushuhuda katika hema la mkutano Haruni ataiweka kwa utaratibu toka jioni mpaka asubuhi mbele za Yehova daima. Ni sheria mpaka wakati usio na kipimo katika vizazi vyenu vyote.

  • Hesabu 3:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Na mkuu wa wakuu wa wana wa Lawi alikuwa Eleazari+ mwana wa Haruni kuhani, aliyekuwa mwangalizi wa wale waliokuwa wakitimiza wajibu wa mahali patakatifu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki