Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 16:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Pia atautia uvumba juu ya moto mbele za Yehova,+ nalo wingu la uvumba litafunika kifuniko cha Sanduku,+ kilicho juu ya ule Ushuhuda,+ asije akafa.

  • Hesabu 16:40
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 40 kuwa ukumbusho kwa wana wa Israeli, kusudi mgeni+ yeyote ambaye si uzao wa Haruni asikaribie ili kufukiza uvumba mbele za Yehova,+ wala yeyote asiwe kama Kora na kusanyiko lake,+ kama vile Yehova alivyokuwa amesema naye kupitia Musa.

  • 1 Samweli 2:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Naye alichaguliwa kwa ajili yangu kutoka kwa makabila yote ya Israeli,+ awe kuhani na kupanda juu ya madhabahu+ yangu ili afukize moshi wa dhabihu, avae efodi mbele zangu, ili niipe nyumba ya babu yako matoleo yote ya wana wa Israeli yaliyotolewa kwa njia ya moto.+

  • 1 Mambo ya Nyakati 23:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Wana wa Amramu walikuwa Haruni+ na Musa.+ Lakini Haruni akatengwa+ ili atakase Patakatifu Zaidi,+ yeye na wanawe mpaka wakati usio na kipimo, kufukiza moshi wa dhabihu+ mbele za Yehova, kumhudumia+ na kutangaza baraka+ katika jina lake mpaka wakati usio na kipimo.

  • Luka 1:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 kulingana na desturi ya cheo cha kikuhani ikawa zamu yake kutoa uvumba+ alipoingia katika patakatifu pa Yehova;+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki