Mambo ya Walawi 9:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Kisha Haruni akainua mikono yake kuelekea watu, akawabariki,+ naye akashuka+ baada ya kutoa toleo la dhambi na toleo la kuteketezwa na dhabihu za ushirika. Hesabu 6:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 “Sema na Haruni na wanawe, na kuwaambia, ‘Hivi ndivyo mtakavyowabariki+ wana wa Israeli, na kuwaambia:
22 Kisha Haruni akainua mikono yake kuelekea watu, akawabariki,+ naye akashuka+ baada ya kutoa toleo la dhambi na toleo la kuteketezwa na dhabihu za ushirika.
23 “Sema na Haruni na wanawe, na kuwaambia, ‘Hivi ndivyo mtakavyowabariki+ wana wa Israeli, na kuwaambia: