Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 6:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 “Sema na Haruni na wanawe, na kuwaambia, ‘Hivi ndivyo mtakavyowabariki+ wana wa Israeli, na kuwaambia:

  • Kumbukumbu la Torati 10:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 “Wakati huo Yehova alitenga kabila la Lawi+ ili lichukue sanduku la agano la Yehova,+ lisimame mbele za Yehova ili kumhudumia+ na kubariki katika jina lake mpaka leo hii.+

  • Kumbukumbu la Torati 21:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 “Na makuhani wana wa Lawi watakaribia, kwa sababu hao ndio Yehova Mungu wako amechagua wamhudumie+ na kulisifu+ jina la Yehova na ambao kwa kinywa chao kila mzozo juu ya kila tendo lenye jeuri, wapasa kuondolewa mbali.+

  • 1 Mambo ya Nyakati 23:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Wana wa Amramu walikuwa Haruni+ na Musa.+ Lakini Haruni akatengwa+ ili atakase Patakatifu Zaidi,+ yeye na wanawe mpaka wakati usio na kipimo, kufukiza moshi wa dhabihu+ mbele za Yehova, kumhudumia+ na kutangaza baraka+ katika jina lake mpaka wakati usio na kipimo.

  • Luka 24:50
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 50 Lakini akawaongoza waende mpaka Bethania, naye akainua mikono yake na kuwabariki.+

  • Matendo 3:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Baada ya kumwinua Mtumishi wake, Mungu alimtuma kwenu kwanza+ ili kuwabariki ninyi kwa kugeuzia mbali kila mmoja kutoka kwenye matendo yenu maovu.”

  • Waebrania 7:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Basi bila mabishano, mdogo hubarikiwa na mkubwa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki