50 Na wewe mwenyewe uweke rasmi Walawi juu ya maskani ya Ushuhuda+ na juu ya vyombo vyake vyote na juu ya kila kitu kilicho chake.+ Wao wenyewe wataichukua maskani na vyombo vyake vyote,+ nao wenyewe watahudumu+ kwenye hiyo maskani; nao watapiga kambi kuizunguka maskani.+
9 Je, ni jambo dogo sana kwenu ya kwamba Mungu wa Israeli amewatenga+ ninyi mbali na kusanyiko la Israeli ili kuwaleta ninyi kwake mpate kuendeleza utumishi wa maskani ya Yehova na kusimama mbele ya kusanyiko ili kuwahudumia,+