Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 2:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 “Hema la mkutano+ litakapoondoka, kambi ya Walawi+ itakuwa katikati ya kambi hizo.

      “Kama vile watakavyopiga kambi, ndivyo watakavyoondoka,+ kila mmoja mahali pake, kulingana na mgawanyo wao wa makabila matatu.

  • Hesabu 3:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Familia za Wagershoni zilikuwa nyuma ya maskani.+ Zilikuwa zimepiga kambi upande wa magharibi.

  • Hesabu 3:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Familia za wana wa Kohathi zilikuwa zimepiga kambi upande wa maskani kuelekea kusini.+

  • Hesabu 3:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Na mkuu wa nyumba ya ukoo wa upande wa baba kwa ajili ya familia za Merari alikuwa Zurieli mwana wa Abihaili. Walipiga kambi upande wa maskani kuelekea kaskazini.+

  • Hesabu 3:38
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 Na wale wanaopiga kambi mbele ya maskani kuelekea mashariki, mbele ya hema la mkutano kuelekea mapambazuko ya jua, walikuwa Musa na Haruni na wanawe, wale waliokuwa wakitimiza wajibu wa patakatifu,+ kama wajibu wa wana wa Israeli. Na mgeni yeyote ambaye angekaribia angeuawa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki