53 Nao Walawi watapiga kambi kuizunguka maskani ya Ushuhuda, ili ghadhabu+ yoyote isizuke juu ya kusanyiko la wana wa Israeli; nao Walawi watashika utumishi wa maskani ya Ushuhuda.”+
8 “Wakati huo Yehova alitenga kabila la Lawi+ ili lichukue sanduku la agano la Yehova,+ lisimame mbele za Yehova ili kumhudumia+ na kubariki katika jina lake mpaka leo hii.+