Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 3:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Na wajibu+ wao ulikuwa ni lile Sanduku+ na meza+ na kinara cha taa+ na madhabahu+ na vyombo+ vya mahali patakatifu ambavyo wangevitumia kuhudumu na kisitiri,+ na utumishi wake wote.

  • Hesabu 4:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 “Naye Haruni na wanawe watamaliza kufunika mahali patakatifu+ na vyombo+ vyote vya mahali patakatifu wakati kambi inapoondoka, kisha wana wa Kohathi watakuja ili kuvichukua,+ lakini hawapaswi kugusa+ mahali patakatifu wasije wakafa. Vitu hivyo ni mzigo wa wana wa Kohathi katika hema la mkutano.+

  • Hesabu 4:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Lakini wafanyie jambo hili ili waendelee kuishi wala wasife kwa sababu ya kukaribia kwao vitu vilivyo vitakatifu zaidi.+ Haruni na wanawe wataingia ndani, nao watawapa mgawo kila mmoja wao kwenye utumishi wake na kwenye mzigo wake.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki