Hesabu 4:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Lakini fanyeni jambo hili ili waendelee kuishi nao wasife kwa sababu ya kukaribia vitu vitakatifu kabisa.+ Haruni na wanawe wataingia humo na kumgawia kila mmoja wao kazi yake na vitu anavyopaswa kubeba.
19 Lakini fanyeni jambo hili ili waendelee kuishi nao wasife kwa sababu ya kukaribia vitu vitakatifu kabisa.+ Haruni na wanawe wataingia humo na kumgawia kila mmoja wao kazi yake na vitu anavyopaswa kubeba.