Hesabu 4:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Lakini wafanyie jambo hili ili waendelee kuishi wala wasife kwa sababu ya kukaribia kwao vitu vilivyo vitakatifu zaidi.+ Haruni na wanawe wataingia ndani, nao watawapa mgawo kila mmoja wao kwenye utumishi wake na kwenye mzigo wake.
19 Lakini wafanyie jambo hili ili waendelee kuishi wala wasife kwa sababu ya kukaribia kwao vitu vilivyo vitakatifu zaidi.+ Haruni na wanawe wataingia ndani, nao watawapa mgawo kila mmoja wao kwenye utumishi wake na kwenye mzigo wake.