Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 7:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Lakini wana wa Kohathi hakuwapa chochote, kwa sababu utumishi wa mahali patakatifu ulikuwa juu yao.+ Walifanya uchukuzi wao kwa mabega yao.+

  • Hesabu 10:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Nao Wakohathi wakiwa wachukuzi wa patakatifu+ wakaondoka, kwa maana watakuwa wameisimamisha maskani kufikia wakati wa kuja kwao.

  • Kumbukumbu la Torati 31:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Ndipo Musa akaandika sheria hii+ na kuwapa makuhani wana wa Lawi,+ wachukuaji wa sanduku la agano la Yehova,+ na kuwapa wanaume wote wazee wa Israeli.

  • 1 Mambo ya Nyakati 15:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Ndipo Daudi aliposema: “Mtu yeyote asilibebe sanduku la Mungu wa kweli isipokuwa Walawi, kwa maana Yehova amewachagua hao ili walibebe sanduku la Yehova+ na kumhudumia+ mpaka wakati usio na kipimo.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki