2 Samweli 6:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Na ikawa kwamba wakati wachukuzi+ wa lile sanduku la Yehova walipokuwa wamepiga hatua sita, akatoa mara moja dhabihu ya ng’ombe na kinono.+ 1 Mambo ya Nyakati 15:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Ndipo wana wa Walawi wakaanza kulibeba+ sanduku la Mungu wa kweli, kama Musa alivyoamuru kwa amri ya Yehova, juu ya mabega yao na fimbo zikiwa juu yao.+
13 Na ikawa kwamba wakati wachukuzi+ wa lile sanduku la Yehova walipokuwa wamepiga hatua sita, akatoa mara moja dhabihu ya ng’ombe na kinono.+
15 Ndipo wana wa Walawi wakaanza kulibeba+ sanduku la Mungu wa kweli, kama Musa alivyoamuru kwa amri ya Yehova, juu ya mabega yao na fimbo zikiwa juu yao.+