Kutoka 37:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Halafu akaitia miti hiyo kwenye zile pete zilizo pande za Sanduku ili kulibeba Sanduku.+ Hesabu 4:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Nao wataweka kifuniko cha ngozi za sili+ juu yake na kutandaza kitambaa kizima cha uzi wa bluu juu na kutia miti yake.+ 2 Mambo ya Nyakati 5:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Lakini ile miti ilikuwa mirefu, hivi kwamba ncha za miti hiyo zilionekana katika Patakatifu mbele ya chumba cha ndani kabisa, lakini hazikuonekana nje, nayo iko hapo mpaka leo hii.+
6 Nao wataweka kifuniko cha ngozi za sili+ juu yake na kutandaza kitambaa kizima cha uzi wa bluu juu na kutia miti yake.+
9 Lakini ile miti ilikuwa mirefu, hivi kwamba ncha za miti hiyo zilionekana katika Patakatifu mbele ya chumba cha ndani kabisa, lakini hazikuonekana nje, nayo iko hapo mpaka leo hii.+